Na. WAF, Dar es Salaam
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa amezitaka hospitali za Rufaa nchini kuhaikikisha zinafanikisha utaratibu wa kupata ithibati za kimataifa ili kutambulika kwa urahisi na kuvutia tiba utalii nchini
“Serikali ya awamu ya sita imefanya kila linalowezakana kuhakikisha hospitali zote zinakuwa na vifaa tiba vya kutosha na kupeleka huduma kwa wananchi, natoa maelekezo Katiby Mkuu hakikisha hiz hospitali zinapata Ithibati za kimataifa ili kuvutia tiba utalii kutoka kwa mataifa mbalimbali” amesema Waziri Mchengerwa


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...