Na. WAF, Dar es Salaam

Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa amezitaka hospitali za Rufaa nchini kuhaikikisha zinafanikisha utaratibu wa kupata ithibati za kimataifa ili kutambulika kwa urahisi na kuvutia tiba utalii nchini
Akizungumza Januari 05, 2026 Jijini Dar es Salaam alipokuwa taasisi ya saratani ya ocean road (ORCI) kwa ziara na uzinduzi wa bodi ya wadhamini ORCI, Waziri Mchengerewa amemuelekeza katibu Mkuu kuhakikisha hospitali zote za rufaa zipate Ithibati za kimataifa ili kuvutia tiba utalii sababu vifaa tiba vipo vya kutosha tayari 

“Serikali ya awamu ya sita imefanya kila linalowezakana kuhakikisha hospitali zote zinakuwa na vifaa tiba vya kutosha na kupeleka huduma kwa wananchi, natoa maelekezo Katiby Mkuu hakikisha hiz hospitali zinapata Ithibati za kimataifa ili kuvutia tiba utalii kutoka kwa mataifa mbalimbali” amesema Waziri Mchengerwa

Amesema kupata ithibati ya kimataifa ni hitaji la msingi la kuhakikisha


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...