NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV

Mwanamke mmoja amefariki dunia baada ya gari aina ya roli lenye namba ya usajili T696 CLY kuacha njia na kumgonga mwanamke huyo katika maeneo ya mataa ya Mbezi kwa Msuguli Jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mashahidi gari hilo liliacha njia likijarabu kuwakwepa madereva pikipiki ambao walikuwa maeneo hayo na kusababisha kumgonga mtu huyo na kufariki hapo hapo.








Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...