MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Vodacom Tanzania, Philip Besiimire amezindua duka kubwa jipya la mfano la kampuni hiyo mkoani Dodoma ambalo litasaidia kutoa huduma kwa wateja wa mkoa huo pamoja na mikoa mingine ya kanda ya Kati.
Akizungumza wakati wa uzinduai wa duka hilo, Besiimire amesema duka hilo ni mkombozi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma na mikoa jirani iliyo katika Kanda ya Kati kutokana na kuboreshwa kwa huduma zake ikiwemo huduma ya wateja wenye mahitaji maalumu wakiwemo viziwi, walemavu wa miguu, macho na wengineo huduma ambayo hapo awali haikuwepo.
Kwa upande wa wateja wa Vodacom wameishukuru Vodacom kwa uzinduzi wa duka hilo na kusema kuwa kwa sasa watanufaika na huduma zake kutoka na kuboreshwa kwa huduma zake ikiwemo ukubwa wake ukilinganisha na duka la awali.
Akizungumza wakati wa uzinduai wa duka hilo, Besiimire amesema duka hilo ni mkombozi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma na mikoa jirani iliyo katika Kanda ya Kati kutokana na kuboreshwa kwa huduma zake ikiwemo huduma ya wateja wenye mahitaji maalumu wakiwemo viziwi, walemavu wa miguu, macho na wengineo huduma ambayo hapo awali haikuwepo.
Kwa upande wa wateja wa Vodacom wameishukuru Vodacom kwa uzinduzi wa duka hilo na kusema kuwa kwa sasa watanufaika na huduma zake kutoka na kuboreshwa kwa huduma zake ikiwemo ukubwa wake ukilinganisha na duka la awali.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC Philip Besiimire ( wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka jipya la Vodacom jijini Dodoma, ikiwa na lengo la kusogeza huduma za kampuni hiyo karibu na wateja wa jiji hilo. Tukio hilo lilishuhudiwa na Mkuu wa kanda ya kati, Chiha Nchimbi (wa pili kulia) pamoja na Mdau wa Vodacom Emmanuel Makaki ( Kushoto) jana jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire (wa pili kushoto) akizungumza na mtoa huduma wa dawati la wateja wenye mahitaji maalumu, Miraji Msita (kulia) baada ya kuzindua duka jipya kubwa la Vodacom mkoani Dodoma jana. Kushoto kwake ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati, Chia Nchimbi, Mdau wa Vodacom, Emmanuel Makaki (kulia) na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire (kushoto) akitazama moja ya simu zinazouzwa ndani ya duka jipya kubwa la Vodacom mkoani Dodoma baada ya kulizindua jana. Wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa duka hilo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire (wa pili kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa watoa huduma wa duka jipya kubwa la Vodacom mkoani Dodoma baada ya kulizindua jana. Kulia ni Mdau wa Vodacom, Emmanuel Makaki, Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati, Chia Nchimbi (kulia kwake) na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire (wa pili kushoto) akitazama bidhaa zilizopo ndani ya duka jipya kubwa la Vodacom mkoani Dodoma jana baada ya kulizindua. Kushoto ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati, Chia Nchimbi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire (wa pili kushoto) akizungumza na mtoa huduma wa dawati la wateja wenye mahitaji maalumu, Miraji Msita (kulia) baada ya kuzindua duka jipya kubwa la Vodacom mkoani Dodoma jana. Kushoto kwake ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati, Chia Nchimbi, Mdau wa Vodacom, Emmanuel Makaki (kulia) na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire (kushoto) akitazama moja ya simu zinazouzwa ndani ya duka jipya kubwa la Vodacom mkoani Dodoma baada ya kulizindua jana. Wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa duka hilo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire (wa pili kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa watoa huduma wa duka jipya kubwa la Vodacom mkoani Dodoma baada ya kulizindua jana. Kulia ni Mdau wa Vodacom, Emmanuel Makaki, Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati, Chia Nchimbi (kulia kwake) na wafanyakazi wa kampuni hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire (wa pili kushoto) akitazama bidhaa zilizopo ndani ya duka jipya kubwa la Vodacom mkoani Dodoma jana baada ya kulizindua. Kushoto ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati, Chia Nchimbi.








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...