Na Clement Robert, WAF – Dar es Salaam
Wizara ya afya kupitia maabara ya taifa ngazi ya jamii imefanya mapitio ya mradi wa kazi za mwaka wa tatu na shirika la Korea KOFIH wenye lengo la kuijengea uwezo maabara ya taifa ili kutambua magonjwa ya mlipuko
Hayo yamebainishwa leo Februari 19, 2026 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa maabara ya taifa ya afya ya jamii Bw. Ambele Mwafulango wakati wa uzinduzi wa mradi wa kazi za mwaka wa tatu naina ya Korea na maabara ya taifa
Amesema asilimia kubwa ya mambo yalipangwa ndani ya miaka miwili kwenye mradi huo wa miaka mitano yametekelezwa ikiwa ni pamoja na kununua vifaa vya maabara, vitendanishi na kujengea uwezo maabara ya taifa juu ya utambuzi wa magonjwa ya mlipuko


.jpeg)





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...