Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian 

Makonda kwa kushirikiana na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo wa 
Zanzibar Mhe. Dkt. Riziki Pembe Juma wameteua Wajumbe wa Kamati ya Ndani 
(LOC) ya uratibu wa maandalizi ya Mashindano ya Mpira wa Miguu Barani Afrika
(AFCON 2027).


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...