Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian
Makonda kwa kushirikiana na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo wa
Zanzibar Mhe. Dkt. Riziki Pembe Juma wameteua Wajumbe wa Kamati ya Ndani
(LOC) ya uratibu wa maandalizi ya Mashindano ya Mpira wa Miguu Barani Afrika
(AFCON 2027).




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...