Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ni fursa ya kutambua mchango wa wafanyakazi katika maendeleo ya taifa.

Kama Mwajiri Kinara nchini, tumedhamini na kushiriki maadhimisho ya Mei Mosi yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe, yakihusisha wafanyakazi kutoka sekta za umma, binafsi, taasisi na mashirika mbalimbali nchini.

Katika maadhimisho hayo, tumepokea tuzo kama mdhamini wa kufanikisha maadhimisho haya, iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, na kupokelewa na Afisa Mkuu wetu wa Rasilimali Watu, Emmanuel Akonaay.

#MeiMosi #WorkersDay #NMBKaribuYako






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...