Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwasilisha
nakala za hati za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria,
Mhe. Ahmed Attaf, jijini Algiers, leo tarehe 26 Mei, 2026.
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwa katika
mazungumzo mafupi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Mhe. Ahmed
Attaf, mara baada ya kuwasilisha nakala za hati za utambulisho jijini
Algiers, leo tarehe 26 Mei, 2026. Mazungumzo hayo yalihusu uimarishaji
wa ushirikiano na uhusiano baina ya nchi hizi mbili.

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...