NI Jumatano nyingine ya kibabe haswa ambapo tutaenda kushuhudia mechi za michuano mikubwa Duniani. Kila timu inahitaji pointi 3 pekee kujiweka vyema kwenye nafasi ya kufuzu hatua ya 32 bora.

Ecuador dhidi ya Ujerumani ni mechi ambayo muhimu sana kwa Ecuador ambao mpaka sasa kwenye mechi zake mbili ameshindwa kupata ushindi wowote ameambulia sare pekee. Kwenye Kundi hili E mpaka sasa timu ya Taifa ya Ujerumani wao tayari wameshafuzu kwenye hatua inayofuata baada ya kushinda mechi zao mbili.

Vijana wa Sebastian Beccacece mpaka sasa wapo hatiani ya kuondoshwa kwenye michuano hii au kucheza play offs baada ya kuwa na mwanzo mgumu kwenye michuano hii wakiwa mpaka sasa hawajafunga hata goli moja na kupoteza mechi ya kwanza walipokutana na Ivory Coast.

Timu hiyo inaenda kukutana na bingwa mara 4 wa michuano hii, lakini pia moja ya timu ambayo ina wachezaji wenye ubora mzuri na ambao wanaweza wakabilisha matokeo muda wowote wa mchezo. Chini ya Julian Nagelsman Ujerumani imekuwa timu katili sana hasa eneo la ushambuliaji wakiwa na wachezaji kama Kai Havertz, Jamal Musiala, Kimmich na wengine wengi.

Tengeneza pesa leo kwenye michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Wajakti Ecuador wao imekuwa ni timu ambayo sio fanisi kwenye eneo la ushambuliaji, lakini pia wachezaji wao hawana ubora mkubwa kulinganisha na ule wa Ujerumani. Hatma yao ipo kwenye mechi hii ya leo lakini pia wakizingatia matokeo ya timu ya Ivory Coast yatakuwaje.

Kwenye Kundi hilo hilo kuna mechi nyingine ya Curacao dhidi ya Ivory Coast kutoka Afrika ambao kwenye mechi mbili walizocheza wamepata ushindi mechi moja na nyingine wakapoteza.

Timu ya Taifa ya Curacao imekuwa na mwanzo mgumu baada ya kupokea kichapo kikubwa kutoka Ujerumani na baadaye kutoka sare dhidi ya Ecuador, jambo linaloifanya ihitaji ushindi ili kuendelea kuwa na matumaini ya kufuzu. Kwa upande mwingine, Ivory Coast ilianza vizuri kwa kuifunga Ecuador kabla ya kupoteza dhidi ya Ujerumani, hivyo ikihitaji matokeo mazuri ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kutinga hatua ya mtoano.

Huku kwa Ivory Coast wao wanaingia kwenye mchezo huu ikiwa na faida ya ubora wa kikosi na uzoefu mkubwa wa mashindano makubwa. Wachezaji wake wa wa eneo la ushambuliaji wameonyesha uwezo wa kuleta tofauti, huku safu ya kiungo ikiwa na nguvu ya kudhibiti mchezo na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga. Hata hivyo, walionyesha mapungufu katika safu ya ulinzi walipokutana na Ujerumani, jambo ambalo linaweza kuwapa Curacao nafasi ya kushtukiza.

Nafasi ya kuondoka na ushindi kwenye mechi hii amepewa Tembo ( The Elephants) kutokana na ubora ambao wameonesha kwenye mechi zao mbili licha ya moja kuangukia pua. Lakini bado ndio wanaopendelewa kushinda hata kule kwa wakali wa ubashiri Meridianbet. Beti hapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...