Julai 1, 2026 Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatoa Ramsi Tuzo ya Mlipakodi bora kwa walipakodi waliokidhi vigezo ili kuleta Hamasa ya ulipaji kodi nchini na kuwashukuru kwa mchango wao mkubwa katika maendeleo ya nchi yetu. 

Sambamba na hilo TRA itaadhimisha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake Julai 1 1996 ikisherehekea mahusiano mazuri yaliyo jengwa kati ya TRA na walipakodi kwa miongo mitatu na kuchangia maendeleo ya kila sekta katika nchi yetu. TRA inawashukuru sana walipakodi wote kwa kuendelea kulipa kodi kwa hiyari na kwa wakati kwa kipindi chote cha miaka thelathini. Miaka 30 ya TRA kulipa kodi ni Uzalendi na Ushujaa kwa maendeleo na kujitegemea kwa Taifa letu. 

Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...