Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) inapenda kuwataarifu wadau wote kuwa muda wa kuwasilisha Expression of Interest (EOI) kwa ajili ya uwekezaji kwenye ardhi zinazomilikiwa na TBA kupitia mfumo wa Public-Private Partnership (PPP) umeongezwa.
Hii ni fursa kwa wawekezaji wenye sifa kuandaa na kuwasilisha maombi yao ndani ya muda mpya uliotangazwa.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...