Tuma wazo bunifu TRA sasa , Zimebaki siku 2 , ingia tovuti ya TRA kitufe cha Innovation portal tuma wazo lako na ujipatie nafasi ya kushinda hadi TSh milioni 50 au kuwa miongoni mwa washindi 1,020 watakaozawadiwa. Kumbuka, dirisha la kupokea mawazo linafungwa Julai 31, 2026. Wahi sasa, usipitwe na fursa hii! #WazobunifuTRA2026
#Buniwazoushinde



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...