khalaf ni bosi wa kampuni ya uchapaji vitabu ya macmillan bongo. mkononi ameshika vitabu viwili, kimojawapo ni feki, yaani kimechapwa na maharamia (kiswahili cha pirates ni nini vile?). bongo ni nchi inayoongoza kwa uharamia wa kazi za watu katika nyanja zote kuanzia muziki, uchapaji wa vitabu, filamu n.k.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. kama hakina kasoro ndani, yaani matirio yake basi kinafaa sana, tena bei poa kwa masikini sisi.
    hata kama waikwepa ushuru.jamjuah

    ReplyDelete
  2. Maskini hana sheria ...

    ReplyDelete
  3. Lakini sasa waandishi wakikosa maslahi wakasusa kuandika, si ina maana huyo maskini hata hicho kitabu feki hakitakuwepo!

    Issue ya "maskini hana sheria" huwa naona inakuwepo kama maskini anafaidika kiaina. Mbona huyo huyo maskini akiuziwa andazi feki lililo jaa hewa, au nyama feki yenye mifupa mingi anakuja juu!?

    ReplyDelete
  4. huyu mpemba wa tahfifu analalamika nini? usikute yeye ndie anafanya hivyo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...