Home
Unlabelled
dole
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Haya Rais msanii pesa za Ukimwi hizo zinakuja. Mtazitumia kweli kwenye mambo ya ukimwi?
ReplyDeleteZote zinaishia kwa mshahara wa meja generali mstaafu lupogo! Mshahara wake na urasimu uliopo unaweza kutunza karibu wagonjwa 50 au zaidi kwa madawa ya kuendeleza na kulinda maisha (antiretroviral medications) pamoja na kudhibiti chakula bora chao. Kuna urasimu mkubwaaaaaaaaaaaaaaaaaa ufujao pesa na mali ovyooooooooooo!
ReplyDeleteKwa nini Wizara ya Afya isidhibiti moja kwa moja mfuko wa msaada didi ya ukimwi? Pelekeni pesa kwa waathiriwa!