jk akipiga stori na jk ikulu ya kinshasa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. jk akipiga story na nani?

    ReplyDelete
  2. Tunaomba uraia wa Nchi mbili.Si unaona Kabila huku Tanzania alikuwa mtanzania kabisa na huko Kongo ni Mkongo kabisa.Na yeye tumemsaidia.Asaidie wawekezaji wa Kitanzania huko Kongo asiwe kama mandela ambaye Anatujazia wa south Africa hapa badala ya kufungua milango ya Wafanyabiashara kuuza Africa ya kusini na kuwekeza huko.Kama hatujui kuwekeza au biashara MANDELA si atufundishe mbona wao walikuwa hawajui kupigana tukawafundisha.Tumechoka watanzania kuambiwa hatujui biashara au kuwekeza kwao.Tufundisheni na sisi .Msilipe wema wetu kwa kutuzomea kuwa hatujui mbona sisi hatukuwazomea mlipokuwa hamjui kupigana? Mandela,Thabo Mbeki Mna tabia mbaya.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...