wenye nazo kinshasa hufanya matusi kama haya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. BRO MICHUZI. MAMBO HAYA SIO WENYE NAZO TUU WANAFANYA KWA KUJIAMULIA NI SERIKALI YAO IMERUHUSU WATU KUFANYA HIVYO N KULIPA ADA ZA USAJILI ZA JUU ZAIDI. MIMI NAISIFU SANA TRA YA KONGO KWA KUWEKA KITU KAMA HICHO KWANI MTU ANALIPA KODI KUBWA KWA KUJITAKIA, SERIKALI INAPATA MAPATO MENGI KWA NAMNA HII KWANI MAPREDEJEE WANAOTAKA KUJIONYESHA ZINAWATOKA BILA KUWAUMIZA WENGINE. HAPA KWETU SERIKALI INAKAZANIA KUWAKAMUA KODI MASKINI WAKIACHA MAMBO YA ANASA KAMA HAYA KAMA HAWAYAONI. PESA IKO TELE KWENYE MAMBO KAMA HAYA YA KUANDIKA MAJINA BADAL YA PLATE NUMBERS. TRA WARUHUSU WAONE KAMA MAPATO HAYAJAONGEZEKA MARADUFU. HATA KAMA WAKIWEKA MILIONI KUANDIKA JINA WATU WENGI TUU BONGO WATAFANYA. WAACHE MTINDO WA KUWANYANYASA WAFANYAKAZI KWA KODI KUBWA ZISIZO NA MPANGO.!

    ReplyDelete
  2. aa michuzi..Hufanya matusi tena??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...