Hello Everyone,
The wake for my mother will be on Wednesday Jan 3rd, 2007. at 3:00pm at Faggas Funeral home. The prayers will be from 4pm to 5pm.
Please join us at my brother Paul's house after the prayers.
Faggas Funeral Home is located on...
551 Mount Auburn St
Watertown, MA 02472
Paul's address is...
16 Feener Circle
Randolph, MA 02143
Thank you and have a pleasant day.
Stella
The wake for my mother will be on Wednesday Jan 3rd, 2007. at 3:00pm at Faggas Funeral home. The prayers will be from 4pm to 5pm.
Please join us at my brother Paul's house after the prayers.
Faggas Funeral Home is located on...
551 Mount Auburn St
Watertown, MA 02472
Paul's address is...
16 Feener Circle
Randolph, MA 02143
Thank you and have a pleasant day.
Stella
TUNAPOTOA MATANGAZO KATIKA MTANDAO HUU UNAOSOMWA NA WATANZANIA WOTE DUNIANI, TUHAKIKISHE TUNATOA KICHWA CHA HABARI KINACHOKUWA WAZI ZAIDI. HUYU NDUGU YETU KAANDIKA KAMA VILE WANAOSOMA WAPO SEHEMU MOJA TU NA WANAJUA FIKA ANAANDIKA KUHUSU NINI.
ReplyDeleteAsante.
Kwanza pole kwa msiba.
ReplyDeletePili, kudhania kuwa wewe stella au ndugu yako paul ni watu maarufu au mashuhuri sana kwa kila mtu lazima awajue nyinyi inaonyesha tuu ubwabwa wako wa akili.
Mimi binafsi nipo Wellington, New Zealand. Na hiyo adress yako hapo inaonyesha kuwa aidha upo Britain, America, Australia, New Zealand, South Africa au nchi yoyote kolono la liingereza la zamani.
Sasa tuambie wewe ni nani na upo wapi? na una umuhimu gani kiasi kwamba....., sitaki kuendelea ili nisije nikaandika mambo yasiyofaa, na hasa kwa wafiwa.
NAOMBA TUMSAMEHE STELLA KWANI KUFIWA KUNASUMBUA SEHEMU YA UBONGO NA KUSHINDWA KUFANYA,KUANDIKA ETC.KAMA ILIVYOKAWAIDA.
ReplyDeleteNIKIANGALIA ZONE IMPROVEMENT PLAN(ZIP CODE) ALIYOTOA NA INITIAL(MA) INAONYESHA YUPO MASSACHUSSETTS,USA.
NY,NY.
WATANZANIA WA BOSTON KUWENI MACHO SANA. KUNA MTU ANAUKIMWI NA ANAUSAMBAZA. HUYO MTU ANAKAA CHELSEA NA ANA SUV ANA MAJINA MAWILI MOJA LA KIKRISTO NA LINGINE LA KIISLAM. HUYO JAMAA ANA MKE NA MTOTO MMOJA WA KIUME. MIMI NIKIWA KAMA MTANZANIA ROHO INANIUMA SANA KUONA HUYO JAMAA ANAUWA WATU BILA HATIA. HII SI POROJO TAFADHALI CHUKUA TAADHALI NA UKISOMA MUUMBIE NA MWINGINE ILE TUWEZE KUMSTOPISHA HUYO KIJANA NA ROHO YAKE YA KINYAMA.
ReplyDeletestella,
ReplyDeletetafadhali achana na watu ambao wako heartless na ambao wakifungua mdomo ni sumu tu inawatoka.
kwa mwenzetu hapo...
kwa tunaowajua wafiwa msg imetufikia,so don worry!
by the way kila mtu ana umaarufu wake kwa namna yake na katika dunia yake.
Kuna watu hawana haya hata kidogo wee kama ulitaka kujua habari za msiba salamu umezipata ,kumchimba mtu aliyeondokewa na mama yake mzazi hakukuletei sifa yoyote au hata kukupunguzia makali ya maisha nidhamu sio tuu kavaa nguo na kuficha vilivyo ndani ya suruali na sketi zetu bali pia kujali matatizo ya wenzio hasa katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mama yao mzazi ,kuhusu huyu anayetutahadhari na usambazi wa ukimwi hapa boston sijui hii kazi kapewa na nani na kama yeye kesha ukwaa basi atafute dawa mengi yanatokana na fitina ambazo hazina hata posho, weee kama umeumiziwa mpenzi wako si ufinye tuu sio lazima ulete longolongo za ukimwi kila marehemu na kaburi lake wee umefagilia la kwako kwanza, huko miaka ya nyuma alishawahi tokea pumbafu mmoja na list ya wabongo wengi aliokuwa na matatizo nao sasa naona alishafariki sasa kazaliwa mwingine na fitna zake finyu
ReplyDeleteHe,hey....taratibu kijana,anasema anatahadharisha...kuna ubaya gani??Why are u taking it personal?Tabu yako ya nini,hata jina hakumtaja...wewe unajuaje kama hana taarifa zilizokamilika??Pengine anjua historia nzima ingawa sio daktari??
ReplyDeleteAu wewe ndiye mhusika mwenyewe??! maana jazba zimekujaa.Yeye ni mtu mwenye mapenzi mema.Chukua tahadhari kama hujaathirika.Thats all she/he is asking you to do.Take it easy.
Fadhili,
ReplyDeleteNakusifu kwa busara zako, kuomba radhi kwaniaba ya huyu dada yetu. Nami nampa pole sana. Lakini hebu ona, hata hatukujua anaongelea shida kubwa kama hiyo. Lakini mtu akikosea, kukumbushana ni muhimu hata kama ana tatizo. Maana kuna siku nyingine atapata shida kama hiyo, na atarudia tena. Kitu cha muhimu kumbuka huu ni uwanja wa wengi, baadhi wanasahau hili. Kila mtu akichukulia style ambayo ni too personal, mtashangaa inakuwa hamna mawasilino humu, maana kuna siku watu wa Morogoro, UK nk watatangaziana mambo yako bila kutaja sehemu tukio lilipo, ikawa confusion.
MUNGU AWAPE NGUVU WAFIWA.
Nashukuru sana kwa maoni yenu wadu wenzangu na kimeniuma kuona kwamba watu tunakuwa kama si binadamu vile. Maneno yote hayo ya nini??????? Kuna wanaoelewa kinacho endelea vizuri kuhusu huu msiba kama unaona huelewi basi haukuhusu wala hawa ndugu hawakuhusu. I just think kitu kama hii si issue mpaka watu mna mpaka mtu just cause ameweka tangazo lake hapa. Kwa aliye omba radhi nami nashukuru sana na nina kuunga mkono na pia nawaomba wote radhi kwaniaba ya familia nzima. May God Rest Mum's soul in perfect Peace till we meet again.
ReplyDelete