Home
Unlabelled
dizaini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hao lazima watakuwa wapemba waloenda kutafuta huko.
ReplyDeleteduh sasa ndugu yangu michuzi hapo mimi naona umechemsha kwa kushindwa kuwaelewesha wtnz wenzangu kuwa kupanda bycl kuwa ni ukata wamaisha sio kweli kwani hata nchi zilizo endelea hiyo ni moja ya mazoezi kuweze kuushughurisha mwili wako hata wewe inakubidi siku nyingine hukiwa huko home chukuwa bycl yako usipande mkoko wako siku km j,mosi na j,pili anzia huko ubungo mpaka feli alafu rudi zako ubungo najua hicho kitambi chako kitapungua na huwezi kupata ugonjwa wa kiarusi,wala ugonjwa wa kijinga jinga kwani mwili unakuwa na mazoezi badala ya kuubweteka huku ughaibuni hata mawaziri wanarazimishwa nilazima watumie bycl na kuna siku ambazo watu wanaambiwa hakuna usafiri ni siku ya kutumia bycl plz naomba waerimishe ndugu zetu thx
ReplyDeletemwarabu hana mazoezi hata siku moja, pilipili anazokula dawa tosha ya kitambi na hayo magonjwa madogo madogo kama presha, kisukari, minyoo nk yanaondoka yenyewe, huyu anayetetea baisikeli lazima atakuwa Mkurya au msukuma LOL
ReplyDeleteAnon namba mbili hapo juu, unathibitisha kwamba wewe ni mkurya kwa kiswahili chako...
ReplyDeleteAnyway, tunajua kutumia bycl ni mazoezi mazuri na ugaibuni kama mnavyopaita wanazitumia kwa purpose hiyo ila sio Dubai mwanangu..Dubai ni usafiri kama ulivyo morogoro, tanga, etc na in the process wanakata mafuta mwilini..Sawa?