mdau mshindi wa shindano lilopita uliyeomba kubandikiwa humu globuni zawadi hii ya picha twin tawa zilivyo leo na mdogo wao wa zamani. naomba kuwasilisha. wadau wengine mbona mmekaaa kimya, ukiondoa pius aliyeomba zawadi yake nimtumie kwa kupitia email yake (mwenyewe kaomba nisiitaje). washindi naomba mnieleze zawadi zenu tafadhali na namna mnavyotaka zitolewe...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Michuzi,

    Mimi nilikutumia email kuomba picha pia baada ya ushindi ule wa mbinde wa ile picha ya Fire,Dar. Pekua email a/c yako utaona email from tanzanianboy@gmail.com na zawadi niliyoiomba.

    Lakini mbona Michuzi hutoi zawadi kwa lile shindano la jamaa wanacheza mziki club? Uliuliza ile ni club gani na uliahidi zawadi ila hadi leo kimya.

    Kazi njema kaka.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 19, 2007

    MICHUZI MDAKU WEWE!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 19, 2007

    wewe michuzi acha kutubabaisha bwana! hizo zawadi endelea tu kugawa kwa sababu hao walioshinda wamechemsha umewapa upendeleo tu. rangi zenyewe za bendera walizikosea. nasisitiza hakuna rangi ya `dhahabu hata kama hiyo link uliyosema imeeleza hivyo! wape tu hizo zawadi lakini hawakuwa washindi!!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 19, 2007

    Picha ya Twin Towers za BoT, kwa wale mliopita JKT naomba kutoa hisia zangu kwa wimbo huu:

    Nikikumbukwa 'mapacha' hao
    Naona uchunguuuuu
    Nikikumbuka na kodi zetu
    Naona uchunguuuu
    Maamaaa oooh oooh ooohh
    Naona uchungu

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 19, 2007

    Anko michuzzzzzz!
    Asante sana kwa zawadi nilioiomba.... hi picha nimeikubali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...