I hereby enclose our program with registration form on the Summit: "2010 World Cup Women in Communication" scheduled for the 25th -26th October 2007 at the Park Hyatt Hotel Rosebank, Johannesburg (South Africa)
The 2010 world cup will present great opportunities for women in the fields of communication, advertising, the media, marketing and PR. The summit will provide opportunities for representatives from above mentioned industries to closely interact with the policy makers and organizers of 2010.
By attending this event you will gain insights that will allow your organization to formulate a strategy that will ensure that you gain maximum benefits from 2010.
This Summit is aimed at women and men in communication in Africa. Features include:
· Information from a neutral platform
· One on one interaction with key 2010 decision makers
· Five Star Setting
· Exclusivity of delegates
· 80 to 100 decision makers under one roof
· Networking sessions
This is a popular event and seats are limited. To secure your seat we recommend your prompt decision and registration, to which you will receive a discount (refer registration form).
Regards,
Melissa Esau
Corporate Consultant
Ditaba Business Strategies
Ditaba Business Strategies
Physical: Unit 5 Picton Place Picton Street
Parow 7500 South Africa
Postal: P.O. Box 1402
Parow 7499
South Africa
Telephone: +27 21 929 2700
Facsimile: +27 21 930 5800
Website: www.ditaba.co.za
Bwana Michuzi nataka kuanzisha Debate.Je ni nani mtanzania na nani sio Mtanzania? Sababu kuna watu wanapinga vikali kuhusu Adhia Miss Tanzania 2007 kwamba ni Mhindi na sio Mtanzania.Sasa Mtanzania ni nani?Je wapemba na waunguja sio watanzania? JE vipi na wala wenye baba Mzungu mama Mtanzania?Je hao sio watanzania?Naomba uiweke mbele hoja hii ili kwa wale wanaofahamu wawatafsirie kwa ufasaha ni yupi anastahili kuitwa mtanzania na yupi hastaili.Mimi binafsi naamini hata mhindi anaweza kuwa Mtanzania na ndio maana niliandika Issue moja kwamba "race is Not an Issue"
ReplyDeleteSiendi kabisa kwa sababu zifuatazo:
ReplyDelete1.Tanzania Tumepigania uhuru wao Afrika Ya kusini na kutoa damu zetu tunaingia kwa kulipia Visa Afrika ya kusini wakati Wakenya ambao hawakupigania uhuru wanaingia bure Afrika ya kusini.
Makaburu ni wabaguzi hadi leo hawatupendi watanzania kwa kuwa tuliwabonda kumsaidia Mandela ndiyo maana wanatubana kwenye kulipia Visa na kuwapa bure visa Kuingia wakenya sababu hawakuwabonda.Malipo ya kusaidia Afrika Kusini ndiyo hayo.
2.Ukiingia Airport au kwa Basi mpakani Afrika ya Kusini Unatakiwa ujaze kueleza kuwa una Hela za kigeni kiasi gani unazoingia nazo ukishajaza siri za hizo hela ulizojaza ni kama vile zinatoka unajikuta unafuatwa na majambazi unaporwa kila kitu zikiwemo hela za kigeni zote.Wanajuaje kuwa unazo????! Siri ni kama zinatoka uhamiaji kwenda kwa majambazi????!!!
Kwa hofu ya usalama wangu siendi.
3.Wao walikuwa na wakimbizi kibao wa kisiasa Nchini kwetu tuliwapokea vizuri tukawatunza.
Kuna vijana wa Kitanzania Wanakimbilia Afrika ya Kusini Kama wakimbizi wa Kiuchumi Afrika ya kusini wanawakataa na kuwafunga na kuwarudisha.Wakati uchumi wetu uliharibika sababu pesa zetu za kigeni zilikuwa zinapelekwa kuwasaidia Afrika ya Kusini wapate uhuru kwa kugharimia vita zao.
Hivyo wao wamechangia uchumi wetu kuharibika sasa kwa nini wawakatae wakimbizi wa kiuchumi toka Tanzania?