
mdau makange alieko ujapani ameibuka na bonge la globu la teknolojia na ametualika wadau wote tumtembelee kupitia http://www.teknolojia.blogspot.com/ na anakaribisha maswali aina yoyote endapo kama mavituz mengine yatakuwa noti richebo. hongera makange kwa kuamua kututoa tongotongo


Kama blogu yake inabidi aandike posti zake. Sio ku-copy za wengine na kubandika kwake bila kuwapa credit.
ReplyDeleteUna uhakika gani kuwa anacopy za wengine?
ReplyDeleteSafi....Ila kaka misupu, naomba kuuliza, hivi ile zawadi ya mshindi wa utabiri wa ile mechi iliyopita ya England, vipi? Maana ulisema kuwa unamsubiri yule jamaa aliyetoa mkwanja arudi, na ulisema kuwa alishatoa mkwanja, ulikuwa unasubiri tu mechi iishe, na urudi dar from Arusha, sasa vipi, mbona kimya???
ReplyDeleteMimi ni mmoja katika hao waliotabiri vyema...Tafadhali tutanabaishie huo mtakabali..
Well done kijana makange.hivi vitu vinachukua muda na inahitaji kuwa patience kwa namna moja ama nyingine.na ni wakati kuwa positive,kuna mtu ametoa comments kuhusu ku copy makala za watu wengine.ni bora mwana makange ameweza kuwa na blog hata kama ana copy kuliko wewe ambaye huna uwezo wala ujanja wa kutengeneza hii kitu.kwahiyo bwana makange usikate tamaa na fahamu kwamba mambo mazuri huwa hayataki haraka na mwanzo huwa ni mgumu.All the best man.........
ReplyDeleteregards,
Serikali.