juu toka shoto ni katibu mkuu wa cefafa nicholaus musonye, bosi wa shirika la utangazaji (tbc), tido mhando, rais wa cecafa na tff leodegar chilla tenga, bosi wa masoko wa tbl, david minja na meneja wa kilaji cha kesto, 'kiongozi' mpeli nsekela. chini ni viongozi wa cecafa na tbl walioketi na nyuma yao ni viongozi wa tff pamoja na maofisa wa balozi za rwanda na kenya na bosi wa tbc. hii ni baada ya kutiwa saini mkataba wa udhamini wa shilingi milioni 80 za castle lager kwa kombe la kagame


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. hi blog hopping here form indonesia...you have nice blog...:D :D

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 01, 2008

    kubadilishana jezi kwenye mashindano ya CECAFA kunaruhusiwa? ni hayo tu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...