Michuzi na wadau wote wa blogu hii ya jamii,
Nahitaji kununua container moja la futi arobaini. Kwa mwenye nalo yeyote awasiliane nami kwa simu namba 0713270157
VIGEZO:Liwe limepatikana kihali na sio la wizi nikimaanisha liwe na document zote za umiliki.
Thanks saaaaana.
Mdau Joan.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2008

    Taja bei ambayo uko tayari kutoa tukupatie container. Average bei ya container lenye hali nzuri la futi 40 ni $2500.00, Sema uko tayari kutoa bei gani? issue za doc husiwe na wasiwasi. Huwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Tunakupatia kuanzia proforma invoice, invoice, na receipt

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2008

    Asante sana mdau wa kwanza. Mimi nahitaji container la futi 40 kama nilivyotangaza hapo juu. Gharama yake utanipa wewe mimi nipo tayari kwa maelewano. Cha nyongeza ni kwamba ntahitaji na unipe gharama ya kulisafirisha mpaka kisarawe mjini. Tafadhali nipigie au tuma namba ya simu nikupigie.
    Thanks,
    Joan.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2008

    MBONA HUSEMI WEWE UKO WAPI? UNAFIKIRI TUTAOTA AU?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...