wadau wakiserebuka midundo ya ali kiba ndani ya wichita
ali kiba katika makamuzi ya nguvu
ali kiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....
wakali wa wichita walimpa taffu ali kiba kwenye shoo yake ya wichita

Mamia ya wakazi wa wichita wajitokeza kwenye show kabambe ya Alikiba mjini Wichita Kansas wikiendi ilopita, iliyoandaliwa na vijana machachari wa
U-I entertainment office.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. jamani hizi glob zitatuumbua nashukuru sijatokea sura.

    ReplyDelete
  2. Wakali wa WITCHITA????!!!!
    Those 2 guys Born and Raised in Htown.Acheni habari potofu.and they are Good.

    ReplyDelete
  3. hahaha hata mimi nashukuru sijatokea kwenye hizo picha

    ReplyDelete
  4. ha ha ha..... mi nashukuru nimetokea kwenye hizi picha, nimevaa gauni la kijani kwenye picha ya chini (mwisho kabisa). Na nilipendeza kweli!

    ReplyDelete
  5. we anonymous acha hizo huyo mwenye gauni ya kijani si mzungu ina maana kaandika comment ya kiswahili.

    ReplyDelete
  6. we anonymous wa pili,vipi kwani kuwa born and raised in H town hawawezi kuja kutembea Wichita.Hii sio habari potofu hapo ni Wichita hata mimi nilikuwepo that day.Usiwe unasaandika kitu ambacho huna uhakika nacho.

    ReplyDelete
  7. Mi hao wakali wa Htown sikuwaona kama ni wakali,waliwahi kuja hapa mwaka jana wala sikwenda.Mi naona wanapiga kelele tu,waambie wabebe box fani waachie wenzao kama kina Ali Kiba tulitoa dollar 20,lakini wao wakija hata bure siendi.
    Kwanza wanaimbia majina tu.

    ReplyDelete
  8. KUMBE WATHUNGU HAWARUHUSIWI KUANDIKA KOMENTS ZA KISWAHILI KWENYE BLOG HII!

    ReplyDelete
  9. We anony wa pili toka mwisho,hizo chuki binafsi.kutoenda wewe kuwaangalia siyo kuwa siyo wakali, kwa wewe nani ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...