Mgombea ubunge Mbeya vijinini kupitia tiketi ya chama cha Civic United Front (CUF) Mh. David Mponzi akinadi sera za chama chake kwenye mkutano wa kampeni huko Mbalizi wikiendi hii. Picha na Mdau Jiang Alipo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. wazee vipi Ippmedia mbona news siku hizi hawafunguki internet. au ndo ..mzee...na mkwara wa ...

    ReplyDelete
  2. Wagombea wengine bana.. sasa we mgombea wa CUF halafu unavaa nguo ya kijani kijani...

    Kaazi kweli kweli

    ReplyDelete
  3. mambo ya kuwaiga Chadema hamna jipya hapo Lipumba na Seif ni viongozi wa CUF milele

    ReplyDelete
  4. mgombea wetu kafanana na obama huyo utadhani mapacha vile

    ReplyDelete
  5. Tatizo sera zetu nchini ni kupinga upinzani, sijui lini na sisi tutaamuka na kuelewa nini maana ya upinzani. Tujaribu na sisi ili tuanza kuzoea mabadiliko,
    Sijui tunataka mpaka mzungu aje atufundishe hili.
    M3

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...