waziri wa fedha na mipango mh. mustafa mkullo akiingia bungeni leo na mkoba wake tayari kusoma bajeti ya mwaka 2009/2010. ameanza kuisoma toka saa kumi kamili saa za bongo na hadi dakika hii anaendelea. bajeti hiyo itaanza kujadiliwa jumatatu.

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI
MHE. MUSTAFA HAIDI MKULO (MB.), AKIWASILISHA
BUNGENI MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU
MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA
MWAKA 2009/2010

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 11, 2009

    Wizi MTUPU.

    ReplyDelete
  2. Najua lazima bajeti itakuwa finyu kwa kisingizio kuwa uchumi wa dunia umetikisika.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 11, 2009

    KAMA BAJETI YAKO UNA SENTI ZA KUNUNUA NJUGU NA MAANDAZI AU SAMAKI WA KUKAANGA, KAMUONE PEREZ WA GALACTICO ATAKUONGEZEA KIDOGO UNUNUE STEKI, MKATE WA SIHA NA SIAGI. ANAMWAGA TU DA DEKI. KAKA £59M, RONALDO £80, VILLA £40M, MESSI £30..TEH TEH TEH TEH. KASEJA £2/=. TEH TEH TEH. BAJETI AU MANENO...BAJETI MCHEZO!!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 11, 2009

    I'VE A QUESTION, PLS I NEED AN ANSWER. BUGDET YA TANZANIA NI SH. OR DOLLER ZA KIMARECAN NGAPI?

    IT IS WHAT IT IS.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 11, 2009

    Kuna sababu yoyote ya kufurahia?

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 12, 2009

    WIZI NA WIZI. HAMNA CHOCHOTE CHA MAANA HAPO!~! SANA SANA KUENDELEA KUOMBA MISAADA

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 12, 2009

    WEE BALOZI MBONA HAPO ULIPOANDIKA BOFYA HAPA HAIFUNGUKI!
    ANYWAY NI BAJETI YENYE AHUWENI HASA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MTIKISIKO WA UCHUMI. BILA SERIKALI KUKINGA KIFUA HALI INGEKUWA MBAYA ZAIDI. TATIZO LETU TUNALAUMU SANA BILA KUTOA MPANGO MBADALA. BONGO LONGO LONGO

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 12, 2009

    bajeti imelenga kumkomboa mkulima,milioni 700 zimetengwa kununua matrekta nchi nzima bei ya trekta moja tsh 40m hadi 50m/= so tutanunua matrekta 15 na kila mkoa utapata trekta moja hiyo 10 iliyobaki watakuwa wanatumia pamoja.

    KIDUMU......!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...