Ngoma Africa band jukwaani ! Fest Africa,mjini Tampere,Ufini
Ras Makunja na Ngoma Africa aka FFU katika
makamuzi ya hasira ndani ya Fest-Africa,
Finland. Palikuwa hapatoshi....
mpiga solo machachali wa Ngoma Africa band aka
FFU akiwa kibaruani kwake katika Fest-Afrika,Tampere,Ufini
Ras Makunja na Ngoma Africa aka FFU katika makamuzi ya hasira!ndani ya Fest-Africa,Finland.
Mwanamziki Ras Makunja aka Bw.Kichwa Ngumu na mzimu wake wa FFU wikiendi ilopita walifungua ukurasa mpya katika jukwaa la Fest-Africa,kwani waliweza kuwapa burudani ya aina washabiki wa ufini.
Washambuliaji (FFU) wa safu ya mbele waliweza kuwamdudu washabiki vizuri huku Ras Makunja akiwaongoza jukwaani washambuliaji wake wa safu ya mbele mpiga solo Chris-B,ambaye pia anaimba na Bi.Severne aka Sevasha au afande wa kike,huku mdundo mkali wa The Ngoma Africa Band ukiwasindikiza na kuweza kufanikiwa kuwayumbisha washabiki katika onesho hilo.
Kitu cha kufurahisha mziki huo wa Ngoma Africa uliweza kuwazoa washabiki na kupanda jukwaani kusakata ngoma za moto.
wasikilize ngoma afrika hapa

makamuzi ya hasira ndani ya Fest-Africa,
Finland. Palikuwa hapatoshi....

FFU akiwa kibaruani kwake katika Fest-Afrika,Tampere,Ufini

Mwanamziki Ras Makunja aka Bw.Kichwa Ngumu na mzimu wake wa FFU wikiendi ilopita walifungua ukurasa mpya katika jukwaa la Fest-Africa,kwani waliweza kuwapa burudani ya aina washabiki wa ufini.
Washambuliaji (FFU) wa safu ya mbele waliweza kuwamdudu washabiki vizuri huku Ras Makunja akiwaongoza jukwaani washambuliaji wake wa safu ya mbele mpiga solo Chris-B,ambaye pia anaimba na Bi.Severne aka Sevasha au afande wa kike,huku mdundo mkali wa The Ngoma Africa Band ukiwasindikiza na kuweza kufanikiwa kuwayumbisha washabiki katika onesho hilo.
Kitu cha kufurahisha mziki huo wa Ngoma Africa uliweza kuwazoa washabiki na kupanda jukwaani kusakata ngoma za moto.
Mojawapo walipvutwa jukwaani "Mzee Mponda" au tumwite "Dady Mponda" ambaye alipanda jukwaani na akawashangaza maelfu ya washabiki kuwa "kuwa wazee wa Kiafrika" wanajua kucheza mziki na kutoa ushindani kwa vijana!
wasikilize ngoma afrika hapa
http://www.myspace.com/thengomaafrica
Ngoma Africa! au vichaa wa fanya fujo uone,wakali hawatabiliki mambo ya makubwa,hapa ufini mmeacha simulizi.
ReplyDeleteHeshima zenu wakubwa
te!te!Ngoma Africa!!!! mwe!mwe!
ReplyDeletevichaa kazi mnaiweza na moto wenu ni wa kiana aina
Bab Kubwa.
Mdau wa Helsinki
nawakubali sana dah.....
ReplyDeleteda iyo ni soooo
ReplyDeletehata mimi nawakubali vichaa hawa wanajua kazi yao,uwezo wao wa kulimudu jukwaa ni mkubwa mno.
ReplyDeletekweli jinamizi la dansi limedaka wazungu,kamanda mzigo mkubwa huo lakini umeuchagua mwenyewe.miye ombi langu kiatu nimefika bei
ReplyDelete