Mkutano wa Jumuiya
ya Watanzania Roma
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania tawi la Roma, unapenda kuwataarifu Watanzania waishio Rome kuwa, Jumamosi Tarehe 8 August 2009, kutakuwa na mkutano utakaofanyika kwenye ukumbi wa Africa Libulu Associazione Culturale, uliopo kwenye mtaa wa Via Galilei 56. Jirani na Station ya metro Manzoni.
Vifuatavyo mnatakiwa kuja navyo kwaajiri ya kujiunga na jumuiya:
Picha mbili za passport size,Euro 20 za kujiandikisha uanajumuiya
Euro 5 kwa ajiri ya mchango wa Ukumbi
Picha mbili za passport size,Euro 20 za kujiandikisha uanajumuiya
Euro 5 kwa ajiri ya mchango wa Ukumbi
Angalieni hii Link Namna ya kufika tokea Stazione Manzoni:
http://www.tuttocitta.it/tcol/mappe/roma?cb=0&op=mc&dv=Roma (RM), Italia&ind=Via Galilei, 58&px=620&py=390&ldv=Roma (RM), Italia<y=C&lcn=Roma&lpr=RM&lre=Lazio&cre=10&ccd=
70464&geoall=0&z=3&zd=2.4&cx=12.52329&cy=41.89127&poi=
0000&mtp=1&lx=12.50617&ly=41.8912
katibu,
katibu,
Andrew Mhella
Ndio hiyo shoo ya Mark Mushi wa Italy?
ReplyDeleteHapana Ndugu yangu ni kwaajiri ya maswala ya maendeleo ya watanzania hapa Roma.
ReplyDelete