bofya kimshale kuona video

Supa Tolu ni mtaalamu wa kunyonga vitanzi. Leo anatoa somo la bure kwa akina wenzangu na mie ambao ujuzi wa kufunga kitanzi iz noti richebo.....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Ah! mithupu kweli una kipaji,
    Yani hapa najua wadau weengi hawajui kufunga tai,,sasa ulivyofikilia kutafuta huyu jamaa !yani umefanya la maana sana kwa sababu wengi wataiga kupitia hii njia moja kwa moja live.Mimi mwenyewe nilikua nafunga hooovyo sana,.Asante mithupu kwa kuvumbua mengi ya kutuelimisha....enderea kutafuta na mengine pia ,,.Ila yule mzee lick wakutupasha habali za michezo tunamhitaji maana ligi zimeanza.

    ReplyDelete
  2. Anko nanihii, leo kweli umetusaidia, kwani Michu

    ReplyDelete
  3. Foto bin baraza kuleeeAugust 27, 2009

    Nami nilikuwa Nott kuchaboo nilikuwa sijui kufunga tai lakini leo na ili somo wacha nipige tizi AShukrani suppaa toliiii

    ReplyDelete
  4. huu ni ukoloni tu. kwani bila ya tai mtu hapendezi?

    ReplyDelete
  5. Ahsante kwa hii shule, lakini imenikumbusha siku moja tulipata kabahati ka kwenda Ujerumani, na wakati mwenyeji wetu Mjerumani anatupa shule ya kuvaa tai, mmoja wetu alimuuliza yule mjerumani kwanini wao hawapendi kujifunza Kiingereza, kwani asilimia kubwa ya wao hawajui Kiingereza. Kweli si kweli?
    Unajua alisemaje, `tujifunze ili iweje,ili tupate nini, itatusaidia nini hiyo lugha' baada ya muda akaongezea kusema.
    `Wale ambao wanasababu maalumu ya kusafiri au biashara, wanaweza kujifunza hio lugha, lakini sisi haitatusaidia sana kujifunza, yapo mengi ya kujifunza zaidi ya hiyo lugha'
    Na wakati tunajadiliana wenyewe mmoja akasema,kweli sisi inatubidi tujifunze kwasababu ya umasikini wetu, tusipofanya hivyo tutajuaje lugha ya kuombea misaada. Hawa Wajerumani hawapo katika nchii masikini, sana-sana watu wengine ndio wanatakiwa wajifunze lugha yao ili waende kuomba kwao.
    Sasa swali hapa likanijia kichwani, tunajifunza kuvaa tai ili iweje? Mmmh, najua majibu ni mengi lakini ni kama chombeza la kujua umuhimu wa tai, ili tuone umuhimu wa kujifunza jinsi gani ya kuivaa.

    ReplyDelete
  6. Safi sana
    Lakini mimi napenda zaidi kutundika kile kitu kinachoitwa Double Windsor
    The shape of the tie knot and the length of the tie is often a personal preference
    Check out WINDSOR KNOT on Google if you want more information
    Wakatabahu

    ReplyDelete
  7. We Anon wa 11;06 kila siku unapinga kinacholetwa humu. Hujui lingine ni kupingapinga tu. Unataka nini wewe??!!!!!!!!

    ReplyDelete
  8. Hii ni vipi kujinyonga natai yani.

    ReplyDelete
  9. wewe anon wa 01:14:00 PM ambaye ni bro michu, vp bana...tuliaaaaaaaa

    ReplyDelete
  10. Wakati ninapata kipaimara mwaka 90 ni siku ya kuvaa suti/ shati zuri na tai.Vyote hivi nilikuwa navyo tatizo kubwa lilikuwa kuifunga tai. Kwa wapambe ambao walikuwa wananivalisha hawakuweza kuifunga tai. Ikabidi tuipeleke kwenye mtaa wa jirani kwa msaada.Basi hio v-shape "sambua" ilikuwa kubwa sana mpaka inakukata pumzi. Ilibidi nivalishe shati bila tai. Kidogo tu nichelewe kanisani. TAI 101 NICE...

    ReplyDelete
  11. supa tolu, long time mwana! goli lako lile lile karibu na ubalozi wa zamani wa UK, toka enzi zile natafuta kinyago mwana mpaka leo...Big up kwa sana, nakumbuka tukipiga stori long T enzi wazungu wanaleta za kuleta, walibana mpaka wakaachia wenyewe si unajua Man U hawakabiki.

    Peace Mwana.

    Mzukaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...