mdau akinakili bei ya madafu leo mtaa wa samora avenue








Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Ni kwa nini bei za kununulia na kuuzia vyinakuwa tofauti? Wenye upeo wa mambo ya BIASHARA nielezeni.Kuuliza si Ujinga.

    ReplyDelete
  2. Hi Kaka Michuzi,

    Kumbe yawezekana. Tutashukuru ukiendelea kutoa taarifa hii angalau mara moja kwa week. Wengi tulioko nje tunapenda kutuma pesa nyumbani lakini tunapata shida kujua exchange rate kwa wakati huo.

    ASANTE SANA.
    Mdau - UK

    ReplyDelete
  3. plz naomba nifahamishwe hiyo euro dollar ndio pesa ya wapi
    ?

    ReplyDelete
  4. Euro Dollar itakuwa ni pesa ya Ghuna ya Uajemi

    ReplyDelete
  5. Wenye Bureau de change hii muwe makini na hela mnazozitangaza, sarafu ya Malaysia ni Malaysian Ringit sio dola ndio maana wasomaji wenzangu wanauliza euro dollor, hakuna kitu kama hicho, kuhusu tofauti ya bei ya kuuzia na kununua hiyo tofauti ndio faida ya wauzaji

    ReplyDelete
  6. Mbigiri,
    Wenye hizi Bureau de Change wanapata faid tokana na hiyo tofauti ya bei ya kuuza na kununua. Kwa mfano, wewe unakuja ku change $ 100 mie nainunua kwa $ 131,000. Then mdau mwingine anakuja na anakuja na madafu na anataka kunuanua $ 100. Mie nachofanya namuuza kwa $ 1323. Faid yangu ni tofauti ya 1323-1310= 13. So mie kwa kila dollar nayouza natengeneza faida ya shiling 13.

    Mfanyabiashara Mwandamizi

    ReplyDelete
  7. Michuz uwe unaweka Vibao vya exchange rates za benk kama NBC au CRDB. Hizo za mtaani mara nyngi hazisemi ukweli na wala pesa zenyewe ukiondoa USD WANAKUWA HAWANA. KWA MFANO rate ya pound ukiangalia za NBC ambapo ndiyo unaweza kuzipata kwa wingi, Buying rate Stg Pound 1 ni CHINI ya tshs 2050 wakati selling ni around Tshs 2200

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...