Donald akikata keki yake

Hi Uncle Michuzi Shikamoo!
Jana ilikuwa hepi besdei yangu ya kutimiza mwaka mmoja, na Baba na Mama wakanifanyia "Hepi besdei tu yuuuuu". Dada yangu Faith akanipa zawadi, na marafiki zangu wadogo wadogo walikuja tukaimba wote "Hepi besdei Donald".

Tulikula keki na kunywa juice. Mwakani nitakualika mimi mwenyewe uje, jana ilikuwa watoto tuuuuu!!! Mimi mdau wako mdogo. Donald Octavian Barnabas

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. kaaaa Donald you are vere vere genius, mtoto unaongea swahili nzuri namna hii, basi mungu akuongeze na uwe genius zaidi.

    hepi besdei!

    mdau no 5!

    ReplyDelete
  2. hongera sana Donald,bado kuchezea Manchester Football Club! sasa Thierry Mukanda atakuwa Arsenal sijui mtakuwa marafiki kama baba zenu! - mama mukanda

    ReplyDelete
  3. octavian barnabas, ulisoma zanaki shule ya msingi na kumaliza 1985?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...