Global Engineering and Technical Services Co. LLC web site inatafuta Civil Engineer katika majumba.
Awe na degree na pia experience miaka 5 kwenda juu.

· Mshahara mzuri
· chumba fully furnished.
· Siku 30 leave kwa mwaka
· Return Ticket.

Note: Company website: http://gets-co.com/

Sehemu ya kazi: Oman, sultanate of oman.

Ku-apply tuma cv kwenye e-mail:
Ulaya1959@yahoo.co.uk

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. ...chumba au nyumba? Tusirudishwe kwenye vyumba vya kupanga tena...!

    ReplyDelete
  2. tangazo zuri lkn huyo ambae unapeleka cv kwake mboni hajaweka ful info zake na hiyo e-mail tutaamini vipi yahoo id wakati website ina mailserver yake

    Ulaya1959@yahoo.co.uk!!!!

    ReplyDelete
  3. ulaya1959@yah....

    kwa nini unataka CV za watu ili iweje weye nani kwani hatuwezi wasiliana na company moja kwa moja.

    umetupa website na contacts

    Mie ushauri wangu kwako kama weye ni agent wa kusaidia kutafutia watu kazi basi jitangaze details zako i mean contacts zote hadi anuani.

    sidhani kama mie hata kama nataka hiyo kazi nitakutumia weye vipi kama weye unatumia kutengenezea wengine etc

    kila siku unaweka e-mail jina hakuna eti nikutumie CV unachekesha kweli

    kama ningekuwa nataka hiyo kazi ningewapigia wenye kampuni wenyewe...

    unaomba CV halafu iweje...sema ufanyalo acha vya kupitia misituni toka nje ueleweke

    ReplyDelete
  4. Jaribuni kuheshimu taaluma za watu vinginevyo hamtapata watu. Engineer mwenye uzoefu wa miaka mitano aende akaishi kwenye chumba kweli?
    Jaribu kuangalia nchi nyingine zilizoendelea zinavyojua kuhamisha na kuvutia wasomi, sio unawatangazia watu chumba.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...