Home
Unlabelled
kilimanjaro stars yakabidhiwa bendera, twiga stars vifaa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
""""
ReplyDeletekilimanjaro stars yakabidhiwa bendere, twiga stars yapewa vifaa"""""
Imekabidhiwa bendere??????
MAXIMO UPO JUU!!!!
ReplyDeletehakuna kitu ninachokipenda kama nidhamu katika timu, hilo umefanikiwa... HEKO MAXIMO! wapuuzi wengi wanauchukia msimamo wako juu ya "WAVUTA BANGE"... hivo hivo endelea kuwabania hao wavuta bangi hata kama wana uwezo wa kudaka kama alivyokuwa OLIVER KHAN au ni viungo machachari kama ZIZZOU au BOBAN au washambuliaji hatari kama MESSI... WANYIME NAFASI HAO! hii itatusaidia kuwajengenga kisaikolojia na kinidhama watoto/vijana wadogo ambao wanatamani siku moja wacheze timu ya taifa wajue BANGI,MADAWA YA KULEVYA, UTOVU WA NIDHAMU au ULEVI ULIOPINDUKIA havina nafasi ktk timu ya taifa...
bora uwe na magolikipa mia wabovu kama Mustafa Bartez au Dihile lakini wenye nidhamu kuliko kuwa na wazuri kama Buffon wakati nidhamu hawana vilevile ni model wabaya kwa KIZAZI KIJACHO
USHAURI:
watanzania waache kumuiga DIOUF hata kama ni skipper wa N/Team kwani historia inaonyesha walioijenga misingi ya soka la Senegal walikuwa na nidhamu ya hali ya juu ndio maana wao sasa ni rahisi hata kucheza ulaya wakati hapa bongo ni kituko na sasa ndio wakati wa kuweka misingi bora ili wale copa cocacola waje kucheza soka ulaya na kuinua kiwangom chetu
"IN MAXIMO WE TRUST"
Jamani fedha zote hizo zinatumika lakini mbona hakuna matokeo ya kuridhisha.
ReplyDeleteKitu muhimu, Tanzania mpaka sasa hivi haina first eleven ya Taifa. Kila kukicha timu mpya, kocha anajaribu kila mchezaji. Hii ni dalili ya matatizo kwani hata wahenga walisema mfa maji haachi kutapatapa.
Na kwa kawaida mtu asiyejua afanyalo kila mara hatashika kila kitu, kwani hajui pa kuanzia wala pa kumalizia. Mfano mzuri ni fundi uchwara wa redio. Redio kama imeharibika basi atakugusa waya huu mara ule, transitor hii mara ile, hoo betri zina kutu, mara weka nyingine, ili mradi tu kubahatisha hakuishi. Na ikitokea kabahatisha basi atajisifu kuwa yeye ni fundi kweli kweli. Hasipo weza mara utasikia basi inabidi uje kesho kuna waya, transitor n.k inabidi nikatafute nyumbani au dukani. Ukija kesho hoo unajua zile spea hazipatini sasa, hii yote mwisho wake unakuja kugundua kumbe tatizo sio redio, tatizo ni fundi. Fundi hana hata kifaa cha kupima kama systems za redio zinafanya kazi?? Fundi gani huyu.
Fundi Maximo bwana.
WATANZANIA MSITEGEMEE MATOKEO MAZURI KIRAHISI.MATOKEO MAZURI YANAKUJA MUDA MREFU BAADA YA KAZI KUBWA KUFANYIKA.KAZI ANAYOFANYA MAXIMO INARIDHISHA SANA NA HATUA TANZANIA ILIYOPIGA KISOKA BAADA YA YEYE MAXIMO KUSHIKA TIMU, MSITEGEMEE MAFANIKIO YAJE KIRAHISI INACHUKUA MUDA NA ITAWEZEKANA TU IWAPO WACHEZAJI WETU WAKIWA NA NIDHAMU UWANJANI NA MAZOEZINI.MAXIMO AMETUTOA MBALI SANA NA ANAJARIBU KADIRI YA UWEZO WAKE LAKINI BADO KUNA MAMBO MENGI YANAMKWAMISHA HASA NIDHAMU NA WACHEZAJI KUJITUMA.
ReplyDelete