Mwanamuziki wa kizazi kipya, Mwanaisha Saidi Nyange ‘ Dayna’ aliyewahi kutamba mwaka 2008 na wimbo wa ‘ Mafungu ‘ akielezea jambo wakati wa semina ya wasanii juu ya mchango wao wa kupambana na rushwa ambayo iliandaliwa na Takukuru mjini morogoro na kushirikisha wasanii 45 wa mjini humo. Picha na John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mkutano ulikuwa bomba. Ukumbi wa VETA Morogoro pia bomba nawashukuru kwa huduma poa. mdau

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...