Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Amazing talent, but absolutely no creativity. Copying congolese music styles and american hip-hop bling. It's sad.

    ReplyDelete
  2. ingawa haziko stationary but constantly pekecharing lakini nazo ni pajazzzzzz tu. safi sana mkuu. usiku mwema.
    mdau wa pajazzz+titizzzzz

    ReplyDelete
  3. Mh! hapo juu nyie walimwengu kama Akudo wanavyosema, hamkosi kutia neno, wakati mnaenjoyi muziki.Jina limesema Akudo Impact Congo muziki.so mnategemea nini, hao ni wacongo waishio tz wanajitahidi kukombine both I think that is creativity and talent.Wlimwengu kuweni binadamu basi.

    ReplyDelete
  4. Kazi ipo.

    ReplyDelete
  5. mmmh tumezidi kuiga sana. muziki wa kibongo uko uko mahututi sasa. Si muda tutawasimulia watoto wetu kuwa tulikuwa na muziki wetu!!!

    ReplyDelete
  6. Hizi nyimbo ni kelele tuu...watu wazima tena wanaume kutingisha viuno. Adumu Ali Kiba na Lady Jay Dee...miziki yao ina ujumbe..hawa wabongo wanaiga tuu hamna lolote...hivi zoezi la kukatika kiuno inabidi ufanyeje?

    ReplyDelete
  7. Asante ankal kwa kutuwekea kipekecho ya uswazi kwetu, anaye sema kukopi anakosea kwani ktk hii bendi ni mchanganyiko wa wakongo na watanzania.

    ReplyDelete
  8. asante kaka michuzi kwa kutuwekea pekechapekecha.tunaomba utuwekee twanga pepeta manake style yao ya sugua kisigino ilinimaliza nilivyorudi bongo for x-mas..

    ReplyDelete
  9. mbona huu mziki wako ni mayoe tuu...hakuna ujumbe,mpangilio zero,wanachokiimba akieleweki,
    bora Twanga na wengine Akudo hakuna kitu

    ReplyDelete
  10. jamani jaribuni kuwa wabunifu wa mtindo na midundo,kuliko hii tabia ya kuiga akina kofi mpaka lini?acheni uvivu wanamziki wetu mnajizika wenyewe,sasa akija mopao hapa wote kimyaaaaaa!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...