Home
Unlabelled
dk shein ziarani ruvuma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mbunge wa CCM jimbo la Peramiho wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma Mhe. Jenista Mhagama.
ReplyDeleteMwandishi jaribu kuwa makini na mipaka ya maeneo unayotembelea vinginevyo unatukoroga vichwa
Jimbo la uchaguzi la Peramiho liko wilaya ya Songea vijijini na wala si wilaya ya Minga. Hivyo Mheshimiewa Jenista Mhagama ni Mbunge wa jimbo la Peramiho wilaya ya songea vijiji si Mbinga.
Candid Scope, hebu pata tano (5). Usijali sana, hiyo ndo ILIMU dunia waliyo nayo waandishi wetu wa reo reo! Madesa kibao waingia nayo kwenye vyumba vya mtihani. Vyeti feki kibao vyauzwa kule Balaza la Mitihani Bongo.
ReplyDeleteWala sishangai kabisa. Eti Mlale pia iko Wilaya ya Mbinga, mweeeeh! Dunia nzima. Je huyo mwandishi akiripoti habari za nchi nyingine si atakoroga zaidi? Fye fyeee!
CCM JARIBUNI KWENDA NA WAKATI KUJUA TOFAUTI YA CHAMA NA SERIKALI, KATIKA JAMBO LOLOTE LA KISERIKALI LINAHUSISHA WAFUASI WA VYAMA VYOTE, NA VINGOZI WALIOKO MADARAKANI NI VIONGOZI WA WATU WOTE, KATIKA JAMBO LA KISERIKALI MKIWEKA BEDERA NEMBO ZA CCM NI KUWANYIMA WALE WASIO CCM HAKI ZAO KIFIKRA, TUSIEW NA MABO YA KIZAMANI TWENDE NA WAKATI AU TWENDE.
ReplyDeleteper dm ndogo hiyo..na wewe anza kula flight za kwenda europe na usa ili na wewe uwe unakula per dm kubwa kama boss wako!
ReplyDelete