Bi.Stephania Ntilatwa wa Arusha ndiye amejishindia zawadi ya tiketi ya kwenda kushuhudia kombe la Dunia Afrika ya kusini baada ya jina lake kuibuka kidedea wikiendi hii wakati wa kuchezesha droo ya pili ya CRDB Bank ya "Shuhudia kombe la Dunia la FIFA 2010 na TemboCardVisa" ambayo imepata umaarufu usio wa kawaida nchini kote
Washindi wengine wa droo hiyo ambao
Washindi wengine wa droo hiyo ambao
watapokea zawadi mbalimbali ni:
2.Diop Chimere :Alishinda LCD TV iliyounganishwa na kingamuzi cha DSTV
3.Hannah Mwandoloma : Alishinda LCD TV
2.Diop Chimere :Alishinda LCD TV iliyounganishwa na kingamuzi cha DSTV
3.Hannah Mwandoloma : Alishinda LCD TV
iliyounganishwa na kingamuzi cha DSTV
4.Ben Robbins : Gift pack
5.Neema Mwenya: Gift pack
6. Philemon Julius : Gift pack
7. Suzan Mlawi: Gift pack
4.Ben Robbins : Gift pack
5.Neema Mwenya: Gift pack
6. Philemon Julius : Gift pack
7. Suzan Mlawi: Gift pack


mmmh! hapo chacha! wakaka wazuri tena bado vijana! lkn ndo tayari wana vitambi! INASIKITISHA!
ReplyDelete