Home
Unlabelled
bungeni dodoma leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hawala lolote hao, waongo watupu!
ReplyDeletewanajifanya wanajadiiiliiiiiii, kumbe wanajadili jinsi gani waiibie serikali tu;
sasa wewe mwenye blog na usiiweke hii comment! we nae si ni wale wale tu!
Katika wazee ambao navutiwa nao sana ambao wanajali sana afya zao na wamejaliwa kuwa na miili iliokaa vema kabisa ni huyu Mzee Cheyo. Inaelekea hata wakati wa ujana wake alikuwa kivutio sana. Embu muone alivyo sawia kabisa kiafya maana hakuna kitambi cha bia wala cha wanga hapo na afya murua kabisa. Big Up Mr. John Momose Cheyo ONYESHA MFANO KWA VIJANA kuwa kuwa na hela si kujiachia ovyo kimwili. Afya ni jambo la muhimu sana.
ReplyDelete