Mkurugenzi wa masoko wa Benki ya CRDB Bi. Tully Esther Mwambapa akiongea na wanahabari kuhusu droo ya mwisho ya kupata mshindi wa safari ya kwenda kushuhudia fainali za kombe la fifa la Dunia 2010 nchini Afrika ya kusini Bw. Joseph Mtandika katika draw iliyofanyika katika duka la Shoppers Masaki jijini Dar.
Benki ya CRDB jana ilifanya draw ya mwisho na kupata washindi wawili zaidi waliojishindia ticketi za kwenda kushudia kombe la Dunia Afrika kusini.

Katika draw hiyo walioibuka na tiketi za kushudia kombe la dunia ni:
1.Asha Issa Omary
2.Joseph Edward Mtandika

Walioshinda LCD TV zenye kingamuzi cha DSTV ni
1. Gemma Gatwell
2. Mukami Kairuki
3.Olimpio Felgenda
Mkurugenzi wa masoko wa Benki ya CRDB Bi. Tully Esther Mwambapa akisimamia mchakato wa droo ya mwisho ya mshindi wa safari ya kwenda kushuhudia fainali za kombe la fifa la Dunia 2010 nchini Afrika ya kusini iliyofanyika katika duka la Shoppers Masaki jijini Dar
Mdau akichakura makaratasi ya droo hiyo
Mkurugenzi wa masoko wa Benki ya CRDB Bi. Tully Esther Mwambapa akiongea kwa simu na mshindi wa safari ya kwenda kushuhudia fainali za kombe la fifa la Dunia 2010 nchini Afrika ya kusini Bw. Joseph Mtandika katika draw iliyofanyika katika duka la Shoppers Masaki jijini Dar. Mkurugenzi wa masoko wa Benki ya CRDB Bi. Tully Esther Mwambapa akiongea kwa simu na mshindi wa safari ya kwenda kushuhudia fainali za kombe la fifa la Dunia 2010 nchini Afrika ya kusini Bi. Asha Issa Omary




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ankal na wadau, msaada tutani. Nani anaifahamu general line ya CRDB? Mi napiga 0222134400 bila mafanikio. Namba za kwenye site yao nazo hazina majibu. Kuna anaeweza okoa jahazi hapa? Shukran.

    ReplyDelete
  2. THIS MADAM TULLI IS BEAUTIFUL OOOH! HEY!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...