ndizi na takapela
mafufu
samaki wa kukaanga
samaki wa kunanihiiwa mchemsho





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Ankal mimi nimependa sana hiyo picha ya hapo juu ya dada...classic beautiful sister.

    ReplyDelete
  2. Hapanilipo ni asubuhi hakafu unatuonyesha huo mle. Haya sio mambo mazuri kabisa ukizingatia nimepata oatmeal na glass ya juice kwa breakfast......Sasa haya mambo yatanifanya nikanunue copycat ambayo najua fika haitanoga kabisa kama hiyo lakini kuosha moyo lazima nile wali, kale greens na samaki leo.

    ReplyDelete
  3. Msaada Ankal, hivi wanyakyusa parachichi kikwetu ni KATAPELA AU TAKAPELA?

    ReplyDelete
  4. uninitamanisha na hao samaki ,ugali, wali, na mboga za majani.
    hizo ni ngunyani au figiri. mwe kumyitu kutukuju.

    ReplyDelete
  5. Watutamanisha nasi tuende Tokyo !

    ReplyDelete
  6. Duh msossi nautamani ???nimechoka na macarone and cheeze

    ReplyDelete
  7. Anko

    Kwa wenzangu na sie tuliokua mbali na nyumbani haya ni mateso kwenda mbele. Maana huku kila msosi ushapitia kiwandani basi balaa tupu.

    Tanzania ni bonge la nchi ila basi tu......

    ReplyDelete
  8. Mkuu hii "DAYATI" umenirudisha katika makuzi yangu ya vijini kwetu mwambao wa pwani ya kisarawe,manerumango,palaka mpaka kidugalo "Menu" ya mchana ilikuwa ndiyo hiyo,hapo pembeni ya mchicha / kisamvu kuna ndimu na pilipili.
    Jioni kulalia chai ya rangi na chapati,yatatoweka mengi mwambao wa pwani lakini mila na jadi zetu za dayati hazitotoweka.

    Mickey Jones
    Denmark

    ReplyDelete
  9. dah!mambo yetu hayo TKY...nimepamiss saaaana.....

    ReplyDelete
  10. Picha ya 3 na 4 kiboko, umenikumbusha mbali sana.

    ReplyDelete
  11. Goddam, kutizama picha za samaki, ugali wali, mchicha mate yamenitoka! Dah!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...