Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2010

    Damn! huyo demu sio mchezo anakata mauno sasa mzee wa kazi hebu naomba number zake za simu niwasiliane nae tuongee vizuri mamabo ya kazi.
    Mbeba box USA

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 20, 2010

    MLANGO WA JAHANAMU KWELI UKO WAZI

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 20, 2010

    Very good performance,entertaining and very Swahili culturally authentic production.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 20, 2010

    hapa hakuna culture wala nini....hii ni pure laana!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 20, 2010

    Bro michuu!
    piga kampeni ili kuzuwiya dada zenu wa tanganyika kuja kuzalilishwa hapa zenj!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 20, 2010

    msiponde akicheza shakira ange msifu sasa kacheza mbongo !!mnachonga !! ulaya ukiwa unajua kucheza hivi hata shule ya music unafungua na wazungu kibao wange jaa!!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 21, 2010

    Uhuni mtupu.

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 21, 2010

    Hii nyimbo ingekuwa na nzuri na ya kuvutia bila ya huu uzalilishaji wa wanawake wa kibongo. Lakini inaonekana wanawake kama hawa wa Kitanganyika ndio wanapata kula yao kwa udhalilishaji huu.
    Sisi tulio huku nje hatuwezi hata kuonesha watu tukasema hii ndio Tanzania

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 21, 2010

    wewe mdau wa Thu May 20, 10:54:00 PM wacha kasumba zako za kikoloni, ofcourse akicheza shakira watu hawatasema kitu, ulaya na afrika mila na tabia zetu ni tafauti.

    Ni kwa nini kila lifanyikalo ulaya mnataka na afrika likubalike? Kwa nini hasa? kwa nini hatuthamini na kutunza mila na desturi za kikwetu?

    Ngoma tanzania zinachezwa na akina dada wanakata viuno kupita kiasi na hakuna complain, lakini inapofika kucheza kama namna huyu dada anavyocheza, thats too much, ni soft porno kabisa. Labda ulaya inakubalika lakini kwetu haikubaliki. Labda mko baadhi mliokwisa lewa na kasumba za ulaya, lakini tupo ambao bado tunathamini utu, heshima, mila na desturi za mwafrika na hatutokaa kimya.

    Tunahishimu dada zetu na ni aibu kuona baadhi yao wanafika kucheza namna hii mbele ya kadamnasi ya watu.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 21, 2010

    mtowa maoni wa Thu May 20, 10:43:00 PM, unajua maana ya mbaguzi? wewe ni mbaguzi kweli kweli, na kwa sababu ya watu kama wewe kuwepo pande zote mbili za muungano wa tanzania, ndio mnaosababisha mfarakano tanzania.

    Wazanzibari wangapi wapo tanzania bara tena mikoani kabisa na wameoa na kuolewa na kuwa na familia zao?

    wazanzibari walianza kuingia kwa wingi bara mara tu baada ya muungano, wabara wameanza kuingia kwa wingi zanzibara mara tu ya kuondoshwa utumiaji wa passport.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 21, 2010

    masiki zanzibar yetu! pole mzazi wa mtoto huyu wa kike. wazanzibari tusimlaumu yeyote ila tujilaumu wenyewe kwa mabadiliko haya yanayotokea visiwani. Yalianza zamani tukabaki kimya na kulalamika vipembeni sasa haya yamejaa tulobaki tunalia tu!!!!

    kundi hili hili walishaimba nyimbo wakasema zanzibar siyo ile ya zamani, wamesema kweli.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 21, 2010

    wewe anon wa Thu May 20, 10:54:00 PM utasemaje huyu binti kuwa anacheza? anacheza nini hapo? huoni kama unawapagisha wanaume walio hapo tu? shakira na madansa wengine atleast wanacheza na kumove, huyo kaganda mahali hapo hapo na anazungusha nyonga utasemaje hiyo ni dance?

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 21, 2010

    acheni zetu tamaduni mnazo nyiye !! nyie manaoponda nod wakwanza kuaribu watoto wa watu mitaani!! wabongo mnapenda sana staree kuliko kazi na hiyo ndo wazi!! mnajifanya mnatabia njema wakati nyie nyie ndo waaribifu!! wewe unayesema kuusu cultural what do u know about african cultural ???? kwa mtazamo wako hapo Dar kuna cultural gani hunayo hiona??
    msiwe mna beep beep this is reality na huishi hivyo si mnaponda wakati wanyewe hamna kitu

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 22, 2010

    wewe anon wa Fri May 21, 09:10:00 PM, sikujibu masuali yako kwani wewe mwenyewe binafsi hujijui na wala hujui kiswahili na nina hakika ndio maana pia hujui lolote kuhusu utamaduni wa mtanzania.

    ama kusema waliosikitikia tabia hii ndio waharibifu, napenda kukumbusha tu, umnyesheapo mtu kidole kimoja, vinne unajinyoshea mwenyewe. usingelijua hayo ya kujidai kuwa na tabia njema ilhali ni waharibifu ila nawe ni mmoja wao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...