





Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mh Michuzi
ReplyDeleteMpiganaji wetu Mr II amefikia wapi na vihunzi vilivokuwa vinamkabili? Nafurahi kusikia muda wa kurudisha form umeongezwa.Hatua hii itawawezesha wanyonge kama Mr II kutekeleza malengo ili kilio cha watu wa chini kisikike.
vijana Kizazi kipya oyeee
Mr II oyeeeeeee
Naona live TBC ktk hiyo linki.
ReplyDeleteMdau
Reading UK
ukubwa unaraha zake hapo kikwete humtowi hata kwa marungu.
ReplyDeleteWewe nawe! Mr II na JK wapi na wapi? Mada ni kurudisha fomu za kugombea urais unaleta hadithi za Mr II, kwi kwi kwiikiiii! Afadhali ungeuliza wagombea wa nafasi hiyo kwa kambi ya upinzani wako wapi ningekuelewa.
ReplyDeleteAnyway ndo elimu yetu hiyo mada nyingine swali laulizwa la mada tofauti, na kwenye mtihani hali kadhalika
Hivi kuna aja gani ya kuwa na mbwembwe zote hizo na matumizi ya ajabu ya pesa za watu maskini kwenye nchi yenye utajiri wakati huna mtu unayeshindana nae?
ReplyDeleteNimeipenda hii.Nampongeza JK.Hamu yangu ni kusikia jina la mgombea mwenza ambaye atakuja kuwa makamu wa raisi.
ReplyDeleteNi kweli kwamba CCM hakuna mtu wa kushindana na JK??? au ndo KUPANGANA huko???????????? Kweli hii siasa ya TZ ni ya aina yake.hakuna democrasia ya kweli !!!
ReplyDeletedemokrasia ya kweli maana yake nini? wewe uliye mwanademokrasia kwa nini haukwenda kwa Makamba na kuchukua fomu ukapambane na JK huko CCM? Eboooo .... unataka nani akufanyie kama siyo mwenyewe ... simama mwenyewe acha kulaumu ... Demokrasia demokrasia ... hata haujui maana yake, unaropoka tu!!
ReplyDeleteraisi wa tanzania na mwenyekiti wa ccm nini chengine anataka tumpatie,...mfalme wa jamhuri ya watanzania au?
ReplyDeleteHv Shibuda ilikuwaje tena? hw watu bwana, makamba anamwita JK ni mtumishi wa mungu...Hahahahahaha.
ReplyDeleteI WANNA KILL RIGHT NOW!!!!