Home
Unlabelled
andendekisye na rosemary wameremeta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mnapendeza kama mapacha vile!
ReplyDeleteKAMA VIPI MMEPENDEZA
ReplyDeleteMilionea Mbije na Mywife wako mmependeza sana. Nawatakia maisha mema.
ReplyDeleteMdau
Poda usoni kwa bridegroom???. hii inakaaje???
ReplyDeletewhat a coincedence! namfahamu andendekisye mwingine dodoma huko nae alimuoa dada anaitwa rosemary, lakini hiyo ilikuwa mwaka 1990. hongereni maharusi.
ReplyDeleteKwa hakika wamependeza maarusi. Picha nzuri alafu na wenyewe walivyo photogenic, yaani wanapendeza mno. Hongereni sana
ReplyDeleteSio Poda, hizi picha zimehaririwa,computer software imetumika kuondoa kila kovu au kipele kwenye ngozi na kufanya ngozi yote ionekane nzuri.
ReplyDeleteHata wewe mwenye sura na ngozi mbaya picha yako inaweza kufanyiwa mambo ukaonekana mzuri.Ni masuala ya technology.
Pictures are too fake. Extensive photoshop was used.
ReplyDeleteSio siri mtakwimu umewakilisha vyema.Hizi snap ni za ukweli papaaaaa!!! Anayebisha ni wivu tu.
ReplyDeleteSio siri mtakwimu umewakilisha vyema.Hizi snap ni za ukweli papaaaaa!!! Anayebisha ni wivu tu.
ReplyDeleteKibingwa zaidi,nimependa sana man.Be gud
ReplyDeleteKaka Andendekisye nimefurahi sana kukuona ukiwa umefunga ndoa kwani mara ya mwisho nilikuona ukiwa unamaliza primary school pale magereza.Hongera sana bro!!!!!!!
ReplyDelete