




Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wabongo kazi kweli. Sasa msongamano wa nini? Wakiona itawasaidia nini? badala ya kuondoka ili waweze kuacaha nafasi ya first responder wao wanabanana hapao. Au ujanja tu wanataka kwenda kuwahi chochote kitakachokuapo hapo
ReplyDeleteNakubaliana na Anon. hapo juu. Yaani wabongo moto unatokea ndio kwanza watu wanakimbilia huko. Hata zimamoto lingini likija itakuwa kazi kufika eneo la tukio kwani njia imezibwa na kundi la watu. Lol we have a long way to go kwa kete hii.
ReplyDeleteMoto huo ni mission posibo, hakuna cha umeme wala nini.
ReplyDeleteNingeshangaa kama gari za zimamoto toka halmashauri ya jiji zisingeishiwa MAJI! Hivi huu msamiati wa gari kuishiwa maji utaisha lini..? Umekuwa kama ni wimbo masikioni mwetu. Aibu yenu halmashauri ya jiji, Dar kukosa gari la kisasa linaloweza kukidhi mahitaji!
ReplyDeleteMithupu hata ukibania comment yangu habari ndio hiyo!
sasa hawo watu nao wanafanya nini ? serikali tafadhali weka sheria kuhusu watu kusongama katika maeneo ya hatari ili watoa huduma wafanye kazi zao kwa nafasi.
ReplyDelete