Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh. Mwanaidi Maajar (kushoto) akiwa na Mwakilishi wa Umoja wa Afrika (African Union), Balozi Amina Salum Ali walipokutana jana kwa mazungumzo. Hawa ni baadhi tu ya kinamama Watanzania waliobobea katika maswala ya siasa za Kimataifa katika ofisi za Umoja wa Afrika, Mjini Washington DC, Marekani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Ok, so strike a political balance here cause tunahitaji kuona kampeni za vyama vingine

    ReplyDelete
  2. chadema damuSeptember 09, 2010

    GIMME A BREAK..magwiji wa siasa za kimataifa!!!!!!!!!!tusitanie fani za watu.

    ReplyDelete
  3. Ramadhani Kareem kina mama

    ReplyDelete
  4. "Wanawake wa Tanzania warembo sana!! Moto moto Tanzania, wanawake Tanzania." My dear ladies, you have the beauty and the brains, you make me feel proud to be a Tanzanian woman. Kina mama hoyeee!!

    ReplyDelete
  5. Hoyee! Nakujibu mdau kinamama oyee!

    Wenye chuki na chuki zao,
    wenye husda na husda zao!

    Kinamama hao wawili Dr. Asha na Bi Amina wanawafanya watu waungulike nafsi zao wanatamani nafasi hizo wangepata wao! Waapi! hata mkiponda wenzenu ndio washaingia kwenye vitabu vya historia WAKO KWENYE SIASA ZA KIATAIFA! UN NI UMOJA WA MATAIFA NA AU NI UMOJA WA MATAIFA YA AFRIKA!

    Haluu kama nawaona vile wanavyotaka kulia! Kwani hata kwenye picha hamzioni hizo bendera?

    Hongereni mama zangu mnatuwakilisha vyema kwenye anga za kimataifa!

    ReplyDelete
  6. Wanawake maarufu Tanzania:

    1) Asha-Rose Migiro --> UN /New York City

    2) Amina Salum Ali --> USA/D.C

    3) Mama Tibaijuka--> UN-Makazi, mstaafu

    4) Gertrude Mongella --> Women/Beijing.

    etc......

    But for the case of Amina Salum Ali, I find it interesting to have an African represent Africa (the continent), to a single freaking nation, USA!

    ReplyDelete
  7. siasaaaa!nilijua huyu maza akitua dc ataleta siasa za london. hakuna mwanasiasa huko.hao wote ni watu na fani zao serious.

    ReplyDelete
  8. Karibu mama "mfnyakazi" wa serikali tufungue matawi ya CCM. Na watatukoma mwaka huu.

    ReplyDelete
  9. Jamani sijui kuna jinamizi gani Tanzania. Mtu akiona nyaya anasema kitunguu. Jamani hao si wanasiasa. Balozi Maajar ni balozi wa Tanzania nchini Marekani, yeye ni mwanadiplomasia na mtumishi wa Umma. Anawakilisha serikali na kutetea maslahi ya raia wake huko USA...Huyu Balozi Amina anawakilisha Umoja wa Afrika (AU) katika mashirika hayo ya Marekani...naye ni mtaalamu na mwanadiplomasia. Sasa siasa hapa imetoka wapi. Kwa kuwa mwandishi anamtazamo wa kisiasa hawezi kufikiria zaid ya hapo. Hii ni aibu. Kaka michuzi uwe unahariri na kuhakikisha habari unapotumiwa,

    Asante sana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...