






Kwa mapicha zaidi
BOFYA HAPA
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sio "NO" ni "K.O" = KnockOut
ReplyDeleteMABONDIA WA BONGO WANA VITAMBI KAMA WABUNGE????????? INAONESHA DIET IN ZIRO HAPO JUST KULA CHIPS KUKU KWA WINGI NA JUNK FOODS....
ReplyDeleteTAMIM IS THE ONE OF THE BEST BOXERS IN AFRICA..U GO STRONG MAN.
ReplyDeleteNdugu wakwanza tofautisha uzito kuna laht fry, but fray heavy laght kwa hiyo usine wanavitanmbi lakini jast niwepesi
ReplyDeleteKisheria bondia hatakiwi kumtwanga bondia mwenzake akiwa ameshaanguka chini. Refa aliyesimamia hili pambano alitakiwa am-disqualify Tamim kwa kumpunch huyo bondia
ReplyDelete1-kwa nyuma
2-Bondia alishaanguka chini.Kama magoti yameshagusa sakafu hiyo inahesabika Knock down hivyo refa anatakiwa awatenganishe mabondia.
Hiyo picha ya tatu inaonekana Tamim alikuwa bado anamshambulia mwenzake angali yupo chini na amegeuzia mgongo.
Hii hairuhusiwi ktk sheria ya ndondi na michezo mingine ya kupiga.
****Michuzi usiibanie hii***