

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Safi sana Posta.Mimi nimesoma hapo 1986-1989 O-level.Shule iko hapo upande wa Pili wa Posta..Miaka ile kulikuwa hakuna kuvuja mitihani kama sasa.Ukifaulu umefaulu kweli na kihalali.tulikuwa tunashindana kufaulu kati ya Bukoba 'Seko',Kahororo,Ihungo,Nyakato na Rugambwa.Kipindi kile shule za serikali zilikuwa 'zinatesa' si mchezo
ReplyDeletena zilikuwa zinaheshimika sijui kumetokea nini hapa katikati.
D.Villa
Yaani hakuna sababu ya wanafunzi kukaa chini kwa kukosa madawati. Million 4 madawati 50 na Viti 50? Gari moja inanunuliwa million 70. Kwanini tusijinyime wadogo zetu, watoto wetu, wajukuu zetu wakakaa kwenye madawati Kama sisi tulivyokua tukisoma? Hatuoni aibu? Kweli ntu unakwenda kutembelea shule na gari ya mamillioni na kuwaangalia wanafunzi machoni wakati wamekaa chini!!!! Ni nini serikali inalo la kujitetea kweli?
ReplyDelete