Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, baada ya kuandamana hadi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dar es Salaam, kulalamikia kitendo cha uongozi wa Chuo hicho kukifuta Chama cha Wanafunzi cha MUHASSO.
Wanafunzi wakitawanyika baada ya kufikisha ujumbe wizarani
Kina Ras Makunja wakizuka kama kawaida yao na magitaa mikononi tayari kuanza mziki
Ujumbe ukiwasilishwa
Wanafunzi wakiwa nje ya wizara ambayo ni beneti na Ikulu
Kamanda Suleiman Kova akisilikiza ujumbe kwa makini



akina ras makunja naona wapo wapo tayari kwa kuanza sebene,sema tu wanafunzi washagutukia kuwa wakileata za kuleta mziki utaanza...
ReplyDelete