Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa Twiga Bancorp wakati alipotembelea banda la Benki hiyo jana katika viwanja vya maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam.Nyuma ya Rais ni Ofisa mtendaji Mkuu wa Twiga Bancorp Hussein Mbululo.
Rais Jakaya Kikwete akiangalia mkanda wa kipindi maalum cha shughuli mbalimbali za Twiga Bancorp baada ya kukabidhiwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Beki hiyo Hussein Mbululo (kulia) wakati alipotembelea banda la Benki hiyo jana katika viwanja vya maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 07, 2011

    Mwambie JK au mtoto wa mkulima kwamba kabwe wa Mwanza habebeki tens.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...