Tanzania yazidi kuwapagawisha wadau wa ughaibuni na sanaa ya utamaduni toka urithi wa babu zetu. Tutizame clip hii jinsi walivyopelekeshwa mchakachaka hapo mjini Groznjan nchini Crotia na kundi la msanii Kauzeni Lyamba na wenzie
Home
Unlabelled
Crotia wapelekwa mchakacha na utamaduni toka Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Safi sana, huna haja ya kiingereza hapo!!
ReplyDeletekauzeni kamatia hapo hapo wapagawishe hivyo hivyo
ReplyDeleteSi mchezo,, jamaa kawashika kinoma...
ReplyDeletepoa sana Kau!,tumeona mpumwende kaka.
ReplyDeleteElzakoo.
Kisabengooo Kau Mwenyewe! hakuna kuweka Bee, Hakuna kurundika Makimba katika Mfuko Rambo. Ni panchi tu. Hakuna kubaeeka. Yani kitu siiiiiii! Mpumwende siyo wa Foooo kabisa.Tutakutana Bagamoyo diii!
ReplyDeleteEee bwana hii poa kichizi. Endelea kuwakilisha kijana, safi sana. Nimeshajipatia soundtrack ya mnuso wangu unaokuja. tehe tehe!
ReplyDeleteSafi saaanaaaaaaaa! anawakilisha vema
ReplyDeleteMusic was born in Africa. Believe it.
ReplyDelete