Kijana wa miaka 22 anashitakiwa kumbaka bibi kizee wa watu.
Hakimu: Bibi, hebu ieleze mahakama kilichotokea.
Bibi Kizee:Nimelala nyumbani kwangu usiku wa manane. Mlango unavunjiliwa mbali na anaingia huyu kijana, aliyesimama pale.Hakimu: Endelea, Bibi Kizee: Si, akanivua nguo zote na kunipanda.
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Akawa anakata kushoto, mimi kulia. Alidhani mimi BWEGE!
Hakimu: Enhee!
Bibi Kizee: Kila akikata, na mimi najibu!
Hakimu: Sasa tatizo lilokuleta hapa mahakamani ni nini?
Bibi Kizee: Ajenge ule mlango aliouvunja!
Duuh hii ni kiboko yao yani namba one kwenye top10 mwaka huu. Mpeni kombe mtungaji wa habari .Kwikwikwiiiiii!!! Mdau toka buja
ReplyDeleteasante uncel
ReplyDeleteHii Kali nimecheka mpaka mabavu zimeniuma.
ReplyDeleteSijaelewa "kukata kulia na kushoto" ina maanisha nini?
ReplyDeleteHahahaha kosa kuvunja mlango... sio kubakwa lol.
Lol hii kali
ReplyDeleteatengeneze mlango na siku nyingine aje mchana kabla sijafunga mlango...ahisi kama bibi alimalizia hivyo... hahahaaa
ReplyDeleteAnony 01:14:00, kukata kushoto na kulia ni kukata mauno hayo....upo? hahahaha, very funny
ReplyDeleteHi kali bibi kanogewa na serengeti boy mpaka kaona kijana hajafanya kosa kosa lake ni kuvunja mlango. Hongera kijana kwa kazi nzuri.
ReplyDeleteHii ni kali kumbe Bibi alihofia kuitwa Bwege akatoa ushirikiano
ReplyDelete